Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 4:13 - Swahili Revised Union Version

13 Akanijibu, akasema, Hujui hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?” Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?” Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Akanijibu, akasema, Hujui hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.

Tazama sura Nakili




Zekaria 4:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa mara ya pili, nikamwuliza, Ni nini haya matawi mawili ya mizeituni, ambayo kwa njia ya ile mifereji miwili ya dhahabu hutoa mafuta yao?


Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?


Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo