Zekaria 2:6 - Swahili Revised Union Version6 Haya! Haya! Ikimbieni nchi ya kaskazini, asema BWANA; kwa maana mimi nimewatawanya ninyi kama pepo nne za mbinguni, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Haya! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini ambako mimi nilikuwa nimewatawanya kila upande. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Haya! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini ambako mimi nilikuwa nimewatawanya kila upande. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Haya! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini ambako mimi nilikuwa nimewatawanya kila upande. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 “Njooni! Njooni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kaskazini,” asema Mwenyezi Mungu, “kwa kuwa nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 “Njooni! Njooni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kaskazini,” asema bwana, “Kwa kuwa nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,” asema bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Haya! Haya! Ikimbieni nchi ya kaskazini, asema BWANA; kwa maana mimi nimewatawanya ninyi kama pepo nne za mbinguni, asema BWANA. Tazama sura |