Zekaria 13:8 - Swahili Revised Union Version8 Hata itakuwa, ya kwamba katika nchi yote mafungu mawili yatakatiliwa mbali, nao watakufa, asema BWANA; lakini fungu la tatu litabaki humo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Theluthi mbili za watu katika nchi zitaangamizwa; ni theluthi moja tu itakayosalimika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Theluthi mbili za watu katika nchi zitaangamizwa; ni theluthi moja tu itakayosalimika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Theluthi mbili za watu katika nchi zitaangamizwa; ni theluthi moja tu itakayosalimika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 katika nchi yote,” asema Mwenyezi Mungu, “theluthi mbili watapigwa na kuangamia; hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 katika nchi yote,” asema bwana, “theluthi mbili watapigwa na kuangamia; hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Hata itakuwa, ya kwamba katika nchi yote mafungu mawili yatakatiliwa mbali, nao watakufa, asema BWANA; lakini fungu la tatu litabaki humo. Tazama sura |