Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 13:5 - Swahili Revised Union Version

5 bali atasema, Mimi si nabii kamwe; mimi ni mkulima wa nchi; kwa maana nilifanywa mtumwa tokea ujana wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 bali kila mmoja atasema, ‘Mimi si nabii. Mimi ni mkulima tu; nimeimiliki ardhi tangu ujana wangu’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 bali kila mmoja atasema, ‘Mimi si nabii. Mimi ni mkulima tu; nimeimiliki ardhi tangu ujana wangu’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 bali kila mmoja atasema, ‘Mimi si nabii. Mimi ni mkulima tu; nimeimiliki ardhi tangu ujana wangu’.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 bali atasema, Mimi si nabii kamwe; mimi ni mkulima wa nchi; kwa maana nilifanywa mtumwa tokea ujana wangu.

Tazama sura Nakili




Zekaria 13:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Amosi akajibu akamwambia Amazia, Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii; bali nilikuwa mchungaji, na mtunza mikuyu;


Na mtu yeyote akimwuliza, Je! Majeraha haya yote uliyo nayo katikati ya mikono yako ni nini? Naye atajibu, Ni majeraha niliyotiwa katika nyumba ya rafiki zangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo