Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 11:15 - Swahili Revised Union Version

15 BWANA akaniambia, Jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mwenyezi-Mungu akaniambia tena, “Jifanye tena mchungaji, lakini safari hii uwe kama mchungaji mbaya!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mwenyezi-Mungu akaniambia tena, “Jifanye tena mchungaji, lakini safari hii uwe kama mchungaji mbaya!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mwenyezi-Mungu akaniambia tena, “Jifanye tena mchungaji, lakini safari hii uwe kama mchungaji mbaya!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kisha Mwenyezi Mungu akaniambia, “Vitwae tena vifaa vya mchungaji mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kisha bwana akaniambia, “Vitwae tena vifaa vya mchungaji mpumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 BWANA akaniambia, Jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu.

Tazama sura Nakili




Zekaria 11:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.


Manabii wako wameona maono kwa ajili yako Ya ubatili na upumbavu Wala hawakufunua uovu wako, Wapate kurudisha kufungwa kwako; Bali wameona mabashiri ya ubatili kwa ajili yako Na sababu za kuhamishwa.


Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao manabii wajinga, wanaoifuata roho yao wenyewe, wala hawakuona neno lolote!


Neno la BWANA likanijia, kusema,


Ole wake mchungaji asiyefaa, aliachaye kundi! Upanga utakuwa juu ya mkono wake, na juu ya jicho lake la kulia; mkono wake utakuwa umekauka kabisa, na jicho lake la kulia litakuwa limepofuka.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Wapumbavu ninyi na vipofu; maana ni ipi iliyo kubwa, ile dhahabu, au lile hekalu liitakasalo dhahabu?


Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje, siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo