Zekaria 1:13 - Swahili Revised Union Version13 Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye faraja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mwenyezi-Mungu akampa huyo malaika jibu jema na lenye matumaini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mwenyezi-Mungu akampa huyo malaika jibu jema na lenye matumaini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mwenyezi-Mungu akampa huyo malaika jibu jema na lenye matumaini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa hiyo Mwenyezi Mungu akazungumza maneno ya upole na ya kufariji kwa malaika aliyezungumza nami. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa hiyo bwana akazungumza maneno ya upole na ya kufariji kwa malaika aliyezungumza nami. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye faraja. Tazama sura |