Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 96:3 - Swahili Revised Union Version

3 Wahubirieni mataifa habari za utukufu wake, Na watu wote habari za maajabu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yatangazieni mataifa utukufu wake, waambieni watu wote matendo yake ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yatangazieni mataifa utukufu wake, waambieni watu wote matendo yake ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yatangazieni mataifa utukufu wake, waambieni watu wote matendo yake ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Tangazeni utukufu wake katika mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 96:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Msifuni kwa matendo yake makuu; Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.


Miisho yote ya dunia itakumbuka, Na watu watamrejea BWANA; Jamaa zote za mataifa watamsujudia.


Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Nitafurahi na kukushangilia; Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.


naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo, na kuwarejesha watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.


Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njooni, twende juu mlimani kwa BWANA, na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake; kwa maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la BWANA litatoka Yerusalemu.


Na gari la vita nitaliondoa liwe mbali na Efraimu, na farasi awe mbali na Yerusalemu, na upinde wa vita utaondolewa mbali; naye atawahubiria mataifa yote habari za amani; na mamlaka yake yatakuwa toka bahari hata bahari, na toka Mto hata miisho ya dunia.


Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo