Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 85:2 - Swahili Revised Union Version

2 Umeusamehe uovu wa watu wako, Umezisitiri hatia zao zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Umewasamehe watu wako kosa lao; umezifuta dhambi zao zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Umewasamehe watu wako kosa lao; umezifuta dhambi zao zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Umewasamehe watu wako kosa lao; umezifuta dhambi zao zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ulisamehe uovu wa watu wako, na kufunika dhambi zao zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ulisamehe uovu wa watu wako, na kufunika dhambi zao zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Umeusamehe uovu wa watu wako, Umezisitiri hatia zao zote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 85:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Koreshi, mfalme wa Uajemi asema hivi; BWANA, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote za dunia; naye ameniagiza nimjengee nyumba katika Yerusalemu, ulioko Yuda.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake.


Lakini Yeye, kwa kuwa anayo rehema, Husamehe uovu wala haangamizi. Mara nyingi huipishia mbali ghadhabu yake, Wala haiwashi hasira yake yote.


Katika siku hizo na wakati huo, asema BWANA, uovu wa Israeli utatafutwa, wala hakuna uovu; na dhambi za Yuda zitatafutwa, wala hazitaonekana; maana nitawasamehe wale niwaachao kuwa mabaki.


Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hadumishi hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.


Nakusihi, usamehe uovu wa watu hawa, kama ukuu wa rehema yako ulivyo, kama ulivyowasamehe watu hawa, tangu huko Misri hata hivi sasa.


na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa Torati ya Musa.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo