Zaburi 83:4 - Swahili Revised Union Version4 Wamesema, Njoni, tuwakatilie mbali wasiwe taifa, Na jina la Israeli halitakumbukwa tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Wanasema: “Njoni tuliangamize taifa lao, jina la Israeli lisikumbukwe tena.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Wanasema: “Njoni tuliangamize taifa lao, jina la Israeli lisikumbukwe tena.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Wanasema: “Njoni tuliangamize taifa lao, jina la Israeli lisikumbukwe tena.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.” Tazama sura |