Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 81:8 - Swahili Revised Union Version

8 Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya, Ee Israeli, kama ukitaka kunisikiliza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Enyi watu wangu, sikieni onyo langu. Laiti ungenisikiliza, ee Israeli!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Enyi watu wangu, sikieni onyo langu. Laiti ungenisikiliza, ee Israeli!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Enyi watu wangu, sikieni onyo langu. Laiti ungenisikiliza, ee Israeli!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya, Ee Israeli, kama ukitaka kunisikiliza;

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sikieni, enyi watu wangu, nami nitanena, Mimi nitakushuhudia, Israeli; Mimi ndimi niliye MUNGU, Mungu wako.


Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;


akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Ikawa siku ya tatu, wakati wa asubuhi, palikuwa na ngurumo na umeme, na wingu zito juu ya mlima, na sauti ya baragumu iliyolia sana. Watu wote waliokuwa kituoni wakatetemeka.


Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;


Maji haya ni maji ya Meriba; kwa sababu wana wa Israeli waliteta na BWANA, naye alijionesha kuwa mtakatifu kati yao.


Amin, amin, nakuambia kwamba, Lile tulijualo tunalinena, na lile tuliloliona tunalishuhudia; wala ushuhuda wetu hamwukubali.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


akawaambia, Yawekeni mioyoni mwenu maneno yote ambayo nashuhudia kwenu hivi leo; nayo waamuruni watoto wenu, wayatunze na kuyafanya maneno yote ya torati hii.


Nenda karibu wewe, ukasikie yote atakayoyasema BWANA, Mungu wetu; ukatuambie yote atakayokuambia BWANA, Mungu wetu; nasi tutayasikia na kuyatenda.


Kisha wako watatu washuhudiao duniani], Roho, na maji, na damu; na watatu hawa hupatana kwa habari moja. Tukiupokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, kwamba amemshuhudia Mwanawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo