Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 73:4 - Swahili Revised Union Version

4 Maana hawana maumivu katika kufa kwao, Na miili yao ina nguvu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Maana hao hawapatwi na mateso; miili yao ina afya na wana nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Maana hao hawapatwi na mateso; miili yao ina afya na wana nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Maana hao hawapatwi na mateso; miili yao ina afya na wana nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wao hawana taabu; miili yao ina afya na nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wao hawana taabu, miili yao ina afya na nguvu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Maana hawana maumivu katika kufa kwao, Na miili yao ina nguvu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;


Siku zao hutumia katika kufanikiwa, Kisha hushuka kuzimuni ghafla.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,


Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!


Mambo hayo yote nimeyaona mimi katika siku za ubatili wangu, yuko mwenye haki apoteaye katika haki yake, yuko na mtu mwovu azidishaye maisha yake katika udhalimu wake.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Abrahamu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo