Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 73:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nami miguu yangu ilikuwa karibu kupotoka, Hatua zangu zilikuwa karibu kuteleza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Karibu sana ningejikwaa, kidogo tu ningeteleza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Karibu sana ningejikwaa, kidogo tu ningeteleza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Karibu sana ningejikwaa, kidogo tu ningeteleza;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Bali mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza; nilikuwa karibu kuanguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza; nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akamwambia Sulemani mwanawe, Kwangu mimi nia yangu ilikuwa kujenga nyumba kwa ajili ya jina la BWANA, Mungu wangu.


Katika mawazo yake huyo aliye na raha mna kudharau balaa; Tayari kwa ajili ya wenye kuteleza miguu.


Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka.


Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nilijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu.


Maana nilisema, Wasije wakanifurahia; Wale wanaojitukuza juu yangu Mguu wangu unapoteleza.


Bali mimi, kwa wingi wa fadhili zako, Nitaingia nyumbani mwako; Na kusujudu kwa kicho, Nikilielekea hekalu lako takatifu.


Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.


Nilikuwa karibu na kuingia katika maovu yote, Katikati ya mkutano na kusanyiko.


Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.


Lakini mimi, hasha! Nisimtende BWANA dhambi kwa kuacha kuwaombea ninyi; lakini nitawaelimisha katika njia iliyo njema, na kunyoka


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo