Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 70:2 - Swahili Revised Union Version

2 Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wale wanaotafuta kuniua, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 70:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Washitaki wangu watavikwa fedheha, Na wavikwe aibu yao kama joho.


Ee BWANA, nimekuita, unijie hima, Uisikie sauti yangu nikuitapo.


Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;


Uniponye nafsi yangu na upanga, Mpenzi wangu na nguvu za mbwa.


Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.


Waaibike na kufedheheka, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya.


Waaibike na wafedheheke, Wote wanaotaka kuniua. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu.


Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, Watarudi nyuma, kwa ghafla wataaibika.


Ee Mungu, usiwe mbali nami; Ee Mungu wangu, fanya haraka kunisaidia.


Waaibishwe, watoweshwe, adui za nafsi yangu. Wavikwe laumu na aibu wanaonitakia mabaya.


Kwa sababu hiyo neno la BWANA kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo; ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa.


Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.


Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo