Zaburi 7:8 - Swahili Revised Union Version8 BWANA atawaamua mataifa, BWANA, unihukumu mimi, Kwa kadiri ya haki yangu, Kulingana na unyofu nilio nao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wayahukumu mataifa; unihukumu kadiri ya uadilifu wangu, kulingana na huo unyofu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wayahukumu mataifa; unihukumu kadiri ya uadilifu wangu, kulingana na huo unyofu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wayahukumu mataifa; unihukumu kadiri ya uadilifu wangu, kulingana na huo unyofu wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mwenyezi Mungu na awahukumu makabila ya watu. Nihukumu Ee Mwenyezi Mungu, kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya uadilifu wangu, Ewe Uliye Juu Sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 bwana na awahukumu kabila za watu. Nihukumu Ee bwana, kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya uadilifu wangu, Ewe Uliye Juu Sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 BWANA atawaamua mataifa, BWANA, unihukumu mimi, Kwa kadiri ya haki yangu, Kulingana na unyofu nilio nao. Tazama sura |