Zaburi 7:6 - Swahili Revised Union Version6 BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Inuka ee Mwenyezi-Mungu, kwa hasira yako, uikabili ghadhabu ya maadui zangu. Inuka, ee Mungu wangu, wewe umeamuru haki ifanyike. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Inuka ee Mwenyezi-Mungu, kwa hasira yako, uikabili ghadhabu ya maadui zangu. Inuka, ee Mungu wangu, wewe umeamuru haki ifanyike. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Inuka ee Mwenyezi-Mungu, kwa hasira yako, uikabili ghadhabu ya maadui zangu. Inuka, ee Mungu wangu, wewe umeamuru haki ifanyike. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Amka kwa hasira yako, Ee Mwenyezi Mungu, inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu. Amka, Mungu wangu, uamue haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Amka kwa hasira yako, Ee bwana, inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu. Amka, Mungu wangu, uamue haki. Tazama sura |