Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 67:2 - Swahili Revised Union Version

2 Njia yake ijulikane duniani, Wokovu wake katikati ya mataifa yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 dunia yote ipate kutambua njia yako, mataifa yote yajue nguvu yako ya kuokoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 dunia yote ipate kutambua njia yako, mataifa yote yajue nguvu yako ya kuokoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 dunia yote ipate kutambua njia yako, mataifa yote yajue nguvu yako ya kuokoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 67:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Maana fadhili zake kwetu sisi ni kuu, Na uaminifu wa BWANA ni wa milele.


Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.


Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Maana nitamsifu tena, Aliye msaada wangu, Na Mungu wangu.


naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo, na kuwarejesha watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.


BWANA ameweka wazi mkono wake mtakatifu Machoni pa mataifa yote; Na ncha zote za dunia Zitauona wokovu wa Mungu wetu.


Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana.


Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


Mtu huyo alikuwa amefundishwa njia ya Bwana; na kwa kuwa roho yake ilikuwa ikimwaka, alianza kunena na kufundisha kwa bidii habari za Yesu; naye alijua ubatizo wa Yohana tu.


nikawaudhi watu wa Njia hii hata kuwaua, nikawafunga, nikiwatia gerezani, wanaume na wanawake.


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Maana neema ya Mungu iwaokoao wanadamu wote imefunuliwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo