Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 48:9 - Swahili Revised Union Version

9 Tumezitafakari fadhili zako, Ee Mungu, Katikati ya hekalu lako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ee Mungu, twazitafakari fadhili zako, tukiwa hekaluni mwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ee Mungu, twazitafakari fadhili zako, tukiwa hekaluni mwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ee Mungu, twazitafakari fadhili zako, tukiwa hekaluni mwako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.

Tazama sura Nakili




Zaburi 48:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako na za hekima yako.


Lakini mimi sikuzisadiki habari hizo, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; tena, tazama, sikuambiwa nusu; wewe umezidi kwa hekima na kufanikiwa kuliko habari nilizozisikia.


Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.


Maana fadhili zako zi mbele ya macho yangu, Nami nimekwenda katika kweli yako.


Sikusitiri haki yako moyoni mwangu; Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako. Sikuficha fadhili zako wala kweli yako Katika kusanyiko kubwa.


Naam, kuhusu Sayuni yatasemwa, Huyu na huyu alizaliwa humo. Na Yeye Aliye Juu Atauimarisha.


Nivute nyuma yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza vyumbani mwake. Tutafurahi na kukushangilia; Tutalinena pendo lako kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Na bonde lote la mizoga, na majivu, na mashamba yote mpaka kijito Kidroni, mpaka pembe ya lango la farasi, upande wa mashariki, patakuwa patakatifu kwa BWANA; hapatang'olewa, wala hapatabomolewa, hata milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo