Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 34:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mtukuzeni BWANA pamoja nami, Na tuliadhimishe jina lake pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mtukuzeni Mwenyezi-Mungu pamoja nami, sote pamoja tulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mtukuzeni Mwenyezi-Mungu pamoja nami, sote pamoja tulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mtukuzeni Mwenyezi-Mungu pamoja nami, sote pamoja tulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mtukuzeni Mwenyezi Mungu pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mtukuzeni bwana pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.

Tazama sura Nakili




Zaburi 34:3
18 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu; Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Ndipo Daudi akawaambia kusanyiko lote, Haya, mhimidini BWANA, Mungu wenu. Basi kusanyiko lote wakamhimidi BWANA, Mungu wa baba zao, wakainamisha vichwa vyao, wakamsujudia BWANA, na mfalme naye.


Tena Hezekia mfalme na wakuu wakawaamuru Walawi, wamwimbie BWANA sifa kwa maneno ya Daudi, na ya Asafu mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainamisha vichwa, wakaabudu.


Washangilie na kufurahi, Wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme daima, Atukuzwe BWANA, Apendezwaye na amani ya mtumishi wake.


Washangilie na wakufurahie, Wote wakutafutao. Waupendao wokovu wako Waseme daima, BWANA ni Mkuu.


Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu, Itangazeni sauti ya sifa zake;


Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani.


Kwa kuwa BWANA huwasikia wahitaji, Wala hawadharau wafungwa wake.


BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake;


bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,


Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,


Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wagiriki waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa.


kama vile nilivyotazamia sana, na kutumaini, kwamba sitaaibika kamwe, bali kwa uthabiti wote, kama sikuzote na sasa vivyo hivyo Kristo ataadhimishwa katika mwili wangu; ikiwa kwa maisha yangu, au ikiwa kwa mauti yangu.


akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo