Zaburi 30:3 - Swahili Revised Union Version3 Umeniinua nafsi yangu, Ee BWANA, kutoka kuzimu. Umenihuisha na kunitoa Miongoni mwao washukao Shimoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ee Mwenyezi-Mungu, umeniokoa kutoka kuzimu; umenipa tena uhai, umenitoa miongoni mwa waendao kuzimu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ee Mwenyezi-Mungu, umeniokoa kutoka kuzimu; umenipa tena uhai, umenitoa miongoni mwa waendao kuzimu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ee Mwenyezi-Mungu, umeniokoa kutoka kuzimu; umenipa tena uhai, umenitoa miongoni mwa waendao kuzimu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Ee Mwenyezi Mungu, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Ee bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. Tazama sura |