Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 26:7 - Swahili Revised Union Version

7 Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 nikiimba wimbo wa shukrani, na kusimulia matendo yako yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 nikiimba wimbo wa shukrani, na kusimulia matendo yako yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 nikiimba wimbo wa shukrani, na kusimulia matendo yako yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 26:7
23 Marejeleo ya Msalaba  

Watangazieni mataifa habari za utukufu wake, Na watu wote habari za maajabu yake.


Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi, Yasimulieni maajabu yake yote.


Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA.


BWANA ndiye aliye Mungu, Naye ndiye aliyetupa nuru. Ifungeni dhabihu kwa kamba Pembeni mwa madhabahu.


Unifahamishe njia ya maagizo yako, Nami nitayatafakari maajabu yako.


Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.


Nitaifikiri fahari ya utukufu wa adhama yako, Na matendo yako yote ya ajabu.


Na ahimidiwe BWANA, Mungu, Mungu wa Israeli, Atendaye miujiza Yeye peke yake;


Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;


Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.


Nitafurahi na kukushangilia; Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.


Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi.


Naye alipomwachisha kunyonya, akamchukua pamoja naye, na ng'ombe watatu, na efa moja ya unga, na chupa ya divai, akamleta nyumbani kwa BWANA, huko Shilo; na yule mtoto alikuwa mtoto mdogo.


Niliomba nipewe mtoto huyu; BWANA akanipa dua yangu niliyomwomba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo