Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 20:3 - Swahili Revised Union Version

3 Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Azikumbuke sadaka zako zote; azikubali tambiko zako za kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Azikumbuke sadaka zako zote; azikubali tambiko zako za kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Azikumbuke sadaka zako zote; azikubali tambiko zako za kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Na azikumbuke dhabihu zako zote, na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Na azikumbuke dhabihu zako zote, na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 20:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. BWANA akamtakabali Habili na sadaka yake;


Kisha Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, akamlingana BWANA; naye akamwitikia kutoka mbinguni kwa moto juu ya madhabahu hiyo ya sadaka ya kuteketezwa.


Basi Sulemani alipomaliza maombi hayo, moto ukashuka kutoka mbinguni, ukateketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; utukufu wa BWANA ukaijaza nyumba.


BWANA akubariki toka Sayuni; Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako;


BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyeziumba mbingu na nchi.


Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za haki, Na sadaka za kuteketezwa, na kafara. Ndipo watakapotoa ng'ombe Juu ya madhabahu yako.


Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako, Kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia; Watapanda juu ya madhabahu yangu kwa kibali, Nami nitaitukuza nyumba ya utukufu wangu.


Kisha moto ukatoka hapo mbele za BWANA, na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa, na yale mafuta juu ya madhabahu; watu wote walipouona huo moto wakapiga kelele wakainama kifudifudi.


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa muwe nyumba ya Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo