Zaburi 20:1 - Swahili Revised Union Version1 BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni; jina la Mungu wa Yakobo likulinde. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni; jina la Mungu wa Yakobo likulinde. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni; jina la Mungu wa Yakobo likulinde. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mwenyezi Mungu na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue. Tazama sura |