Zaburi 18:3 - Swahili Revised Union Version3 Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa maadui zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa maadui zangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa maadui zangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Ninamwita Mwenyezi Mungu anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Ninamwita bwana anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu. Tazama sura |