Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 17:2 - Swahili Revised Union Version

2 Hukumu yangu na itoke kwako, Macho yako na yatazame mambo ya adili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Hukumu yangu na itoke kwako, Macho yako na yatazame mambo ya adili.

Tazama sura Nakili




Zaburi 17:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA hatamwacha mkononi mwake, Wala hatamwacha alaumiwe atakapohukumiwa.


Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri.


Lakini ninyi mwasema, Njia ya Bwana si sawa. Sikilizeni sasa, Enyi nyumba ya Israeli; Je! Njia yangu siyo iliyo sawa? Njia zenu sizo zisizo sawa?


Lakini nyumba ya Israeli husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, je! Njia zangu sizo zilizo sawa? Njia zenu sizo zisizo sawa?


Walakini wana wa watu wako husema, Njia ya Bwana si sawa; lakini watu hao, njia yao si sawa.


Lakini ninyi husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu ninyi; kila mtu kwa kadiri ya njia zake.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo