Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 16:7 - Swahili Revised Union Version

7 Nitamhimidi BWANA aniongozaye, Wakati wa usiku pia moyo wangu hunishauri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Namsifu Mwenyezi-Mungu kwa kuniongoza, usiku dhamiri yangu yanionya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Namsifu Mwenyezi-Mungu kwa kuniongoza, usiku dhamiri yangu yanionya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Namsifu Mwenyezi-Mungu kwa kuniongoza, usiku dhamiri yangu yanionya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nitamsifu Mwenyezi Mungu ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nitamsifu bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.

Tazama sura Nakili




Zaburi 16:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nakaa macho usiku kucha, Ili kuitafakari ahadi yako.


Wakati wa usiku nimelikumbuka jina lako, Ee BWANA, nikaitii sheria yako.


Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako.


Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.


Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.


Ninapokukumbuka kitandani mwangu, Ninakutafakari usiku kucha.


Moyo wangu ulipoona uchungu, Viuno vyangu viliponichoma,


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.


Nanena na moyo wangu usiku, Nawaza moyoni mwangu, Roho yangu naipeleleza.


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Kwa nafsi yangu nimekutamani wakati wa usiku; Naam, kwa nafsi yangu ndani yangu nitakutafuta mapema; Maana hukumu zako zikiwapo duniani, Watu wakaao duniani hujifunza haki.


BWANA, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni BWANA, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Umewapanda, naam, wametia mizizi, wanakua, naam, wanazaa matunda; katika vinywa vyao u karibu, bali katika mioyo yao u mbali.


Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye fikira na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo