Zaburi 16:2 - Swahili Revised Union Version2 Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nilimwambia Mwenyezi Mungu, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nilimwambia bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako. Tazama sura |