Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 16:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nilimwambia Mwenyezi Mungu, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nilimwambia bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 16:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Uliposema, “Nitafuteni uso wangu,” Moyo wangu umekuambia, BWANA, uso wako nitautafuta.


Lakini mimi nakutumaini Wewe, BWANA, Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.


Ni nani niliye naye mbinguni, Wala duniani sina cha kupendeza ila Wewe.


Ee, MUNGU, Bwana wetu Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani kote! Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni;


Yeye ataniita, Wewe ni baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako.


Mmoja atasema, Mimi ni wa BWANA; na mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na mwingine ataandika juu ya mkono wake, Kwa BWANA, na kujiita kwa jina la Israeli.


Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.


Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo