Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 135:8 - Swahili Revised Union Version

8 Aliwapiga wazaliwa wa kwanza wa Misri, Wa wanadamu na wa wanyama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ndiye aliyewaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, wazaliwa wa watu na wanyama kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ndiye aliyewaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, wazaliwa wa watu na wanyama kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ndiye aliyewaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, wazaliwa wa watu na wanyama kadhalika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

Tazama sura Nakili




Zaburi 135:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapiga wazaliwa wa kwanza katika nchi, Malimbuko ya nguvu zao.


Yeye aliyewapiga Wamisri kwa kuwaua wazaliwa wao wa kwanza; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Akampiga kila mzaliwa wa kwanza wa Misri, Malimbuko ya nguvu katika hema za Hamu.


Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawaua wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi BWANA.


basi ilikuwa hapo Farao alipojifanya kuwa mgumu ili asitupe ruhusa kuondoka, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote waliokuwa katika nchi ya Misri, wa binadamu na wa mnyama; kwa ajili ya hayo namtolea BWANA wote wafunguao tumbo, wakiwa wa kiume; lakini wazaliwa wa kwanza wote wa wana wangu nawakomboa.


Na lile taifa watakaowafanya watumwa nitawahukumu mimi, alisema Mungu; na baada ya hayo watatoka, nao wataniabudu mahali hapa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo