Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:164 - Swahili Revised Union Version

164 Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

164 Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

164 Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

164 Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:164
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usiku wa manane nitaamka nikushukuru, Kwa sababu ya hukumu zako za haki.


Na ufurahi mlima Sayuni. Binti za Yuda na washangilie Kwa sababu ya hukumu zako.


Jioni, asubuhi, na adhuhuri nitalalama na kuugua, Naye ataisikia sauti yangu.


Sayuni imesikia na kufurahi, Binti za Yuda walishangilia, Kwa sababu ya hukumu zako, Ee BWANA.


Basi watu hao wakakusanyika pamoja, wakamwona Danieli akiomba dua, mbele za Mungu wake na kusihi.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na haki; maana amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake, na kuipatiliza damu ya watumwa wake mkononi mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo