Zaburi 119:164 - Swahili Revised Union Version164 Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza164 Nakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maagizo yako adili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu164 Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu164 Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI164 Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako. Tazama sura |