Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 118:1 - Swahili Revised Union Version

1 Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mshukuruni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa ni mwema; fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Mshukuruni bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.


Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


itasikika tena sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni BWANA wa majeshi, maana BWANA ni mwema, rehema zake ni za milele; na sauti zao waletao sadaka za shukrani nyumbani kwa BWANA. Kwa kuwa nitawarudisha wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo