Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 112:8 - Swahili Revised Union Version

8 Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yuko imara moyoni, wala hataogopa; naye atawaona maadui zake wanashindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yuko imara moyoni, wala hataogopa; naye atawaona maadui zake wanashindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yuko imara moyoni, wala hataogopa; naye atawaona maadui zake wanashindwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?


BWANA yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wakiwa wameshindwa.


Umtumainie BWANA, uwe imara, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA.


Iweni hodari, na mpige moyo konde, Ninyi nyote mnaomngoja BWANA.


Wewe umngoje BWANA, Uishike njia yake, Naye atakutukuza uirithi nchi, Utawaona Wasio haki wakiangamizwa.


Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Mungu wa fadhili zangu atanitangulia, Mungu atanijalia kutazama kwa ushindi juu ya adui zangu.


Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.


Na jicho langu limeona kuanguka kwa adui zangu, Sikio langu limesikia maangamizi ya waovu walionishambulia.


Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.


Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo