Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 112:4 - Swahili Revised Union Version

4 Nuru huwaangaza wenye adili gizani; Ana fadhili na huruma na haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 112:4
26 Marejeleo ya Msalaba  

Na maisha yako yatakuwa meupe kuliko adhuhuri; Giza lake litakuwa kama alfajiri.


Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako.


Hapo taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia ya mwanga wake;


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.


BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote, Na mwenye huruma katika matendo yake yote.


Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri.


Nuru humwangazia mwenye haki, Na furaha ni kwa wanyofu wa moyo.


Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.


Ni nani miongoni mwenu amchaye BWANA, aitiiye sauti ya mtumishi wake? Yeye aendaye katika giza, wala hana nuru, naye alitumainia jina la BWANA, na kumtegemea Mungu wake.


na kama ukimpa mtu mwenye njaa chakula chako, na kuishibisha nafsi iliyoteswa; ndipo nuru yako itakapopambazuka gizani; na kiwi chako kitakuwa kama adhuhuri.


Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na uponyaji wako utatokea punde; na haki yako itakutangulia; utukufu wa BWANA utakufuata nyuma ukulinde.


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.


Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.


Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


Basi angalieni sana jinsi mnavyoenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;


kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli;


Kama mkijua ya kuwa yeye ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye haki amezaliwa na yeye.


Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo