Zaburi 112:4 - Swahili Revised Union Version4 Nuru huwaangaza wenye adili gizani; Ana fadhili na huruma na haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mtu mwema huangaziwa mwanga gizani; mtu mwenye huruma, mpole na mwadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki. Tazama sura |