Zaburi 11:7 - Swahili Revised Union Version7 Kwa kuwa BWANA ni mwenye haki, Apenda matendo ya haki, Wanyofu wa moyo watauona uso wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mwenyezi-Mungu ni mwadilifu na apenda uadilifu; watu wanyofu watakaa pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mwenyezi-Mungu ni mwadilifu na apenda uadilifu; watu wanyofu watakaa pamoja naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mwenyezi-Mungu ni mwadilifu na apenda uadilifu; watu wanyofu watakaa pamoja naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa kuwa bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake. Tazama sura |