Zaburi 102:18 - Swahili Revised Union Version18 Kizazi kitakachokuja kitaandikiwa hayo, Na watu watakaoumbwa watamsifu BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Andika jambo hili kwa ajili ya vizazi vijavyo; watakaozaliwa baadaye wamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Andika jambo hili kwa ajili ya vizazi vijavyo; watakaozaliwa baadaye wamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Andika jambo hili kwa ajili ya vizazi vijavyo; watakaozaliwa baadaye wamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho, ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu Mwenyezi Mungu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho, ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu bwana: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Kizazi kitakachokuja kitaandikiwa hayo, Na watu watakaoumbwa watamsifu BWANA. Tazama sura |