Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 102:16 - Swahili Revised Union Version

16 BWANA atakapokuwa ameijenga Sayuni, Atakapoonekana katika utukufu wake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mwenyezi-Mungu ataijenga upya Siyoni, na kuonekana alivyo mtukufu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mwenyezi-Mungu ataijenga upya Siyoni, na kuonekana alivyo mtukufu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mwenyezi-Mungu ataijenga upya Siyoni, na kuonekana alivyo mtukufu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa maana Mwenyezi Mungu ataijenga tena Sayuni na kutokea katika utukufu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa maana bwana ataijenga tena Sayuni na kutokea katika utukufu wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 BWANA atakapokuwa ameijenga Sayuni, Atakapoonekana katika utukufu wake,

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:16
17 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ndiye aijengaye Yerusalemu, Huwakusanya waliotawanyika wa Israeli.


Uitendee mema Sayuni kwa radhi yako, Uzijenge kuta za Yerusalemu.


Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Na watu watakaa ndani yake na kuimiliki.


Mbingu zimetangaza haki yake, Na watu wote wameuona utukufu wake.


Hilo ndilo kusudi lililokusudiwa duniani kote, na huo ndio mkono ulionyoshwa juu ya mataifa yote.


Basi, wataliogopa jina la BWANA toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya BWANA.


Na mataifa wataijia nuru yako, Na wafalme kuujia mwanga wa mapambazuko yako.


Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako, Kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia; Watapanda juu ya madhabahu yangu kwa kibali, Nami nitaitukuza nyumba ya utukufu wangu.


kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji la maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe.


Nami nayajua matendo yao na mawazo yao; wakati unakuja nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote; nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.


Mara ya pili nitakujenga, nawe utajengwa, Ee bikira wa Israeli mara ya pili utapambwa kwa matari yako, nawe utatokea katika michezo yao wanaofurahi.


Nami nitawarudisha wafungwa wa Yuda, na wafungwa wa Israeli, na kuwajenga kama kwanza.


Wanawake wa watu wangu mnawatupa nje ya nyumba zao nzuri; watoto wao wachanga mnawanyang'anya utukufu wangu milele.


Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo