Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 100:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Pitieni milango ya hekalu lake kwa shukrani, ingieni katika nyua zake kwa sifa. Mshukuruni na kulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Pitieni milango ya hekalu lake kwa shukrani, ingieni katika nyua zake kwa sifa. Mshukuruni na kulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Pitieni milango ya hekalu lake kwa shukrani, ingieni katika nyua zake kwa sifa. Mshukuruni na kulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 100:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa, Mungu wetu, tunakushukuru na kulisifu jina lako tukufu.


Ndipo Daudi akawaambia kusanyiko lote, Haya, mhimidini BWANA, Mungu wenu. Basi kusanyiko lote wakamhimidi BWANA, Mungu wa baba zao, wakainamisha vichwa vyao, wakamsujudia BWANA, na mfalme naye.


Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.


Huko ndiko wapandako kabila, makabila ya BWANA; Kama ulivyowaamuru Waisraeli, Walishukuru jina la BWANA.


Ee Mungu, wastahili sifa katika Sayuni, Na kwako Wewe itaondolewa nadhiri.


Nitaingia nyumbani mwako na kafara; Nitaondoa kwako nadhiri zangu;


Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi.


Mwimbieni BWANA, lisifuni jina lake, Tangazeni wokovu wake kila siku.


Mpeni BWANA utukufu wa jina lake, Leteni sadaka, na mwingie katika nyua zake.


Na walisifu jina lake kuu litishalo; Ndiye mtakatifu.


Na hao waliokombolewa na BWANA watarudi, watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao watapata kicheko na furaha, huzuni na kuugua zitatoweka.


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo