Zaburi 10:3 - Swahili Revised Union Version3 Maana mdhalimu hujisifia tamaa ya nafsi yake, Na mwenye choyo humkana BWANA na kumdharau. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mwovu hujisifia tamaa zake mbaya, mtu wa tamaa hulaani na kumkataa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mwovu hujisifia tamaa zake mbaya, mtu wa tamaa hulaani na kumkataa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mwovu hujisifia tamaa zake mbaya, mtu wa tamaa hulaani na kumkataa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Hujivunia tamaa za moyo wake; humbariki mlafi na kumtukana Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Hujivunia tamaa za moyo wake; humbariki mlafi na kumtukana bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Maana mdhalimu hujisifia tamaa ya nafsi yake, Na mwenye choyo humkana BWANA na kumdharau. Tazama sura |