Yoshua 9:20 - Swahili Revised Union Version20 Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia. Tazama sura |