Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 9:20 - Swahili Revised Union Version

20 Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Tutawaacha waishi, ili tusije tukaadhibiwa kwa sababu ya kiapo tulichokula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia.

Tazama sura Nakili




Yoshua 9:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena akamwasi mfalme Nebukadneza, aliyemwapisha kwa Mungu; lakini akajifanyia shingo ngumu, akajitia moyo nguvu asimgeukie BWANA, Mungu wa Israeli.


Ni mtego, mtu aseme kwa haraka, Kitu hiki ni wakfu; Na baada ya kuweka nadhiri kuulizauliza habari.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;


na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na linginelo lolote lisilopatana na mafundisho ya kweli;


Lakini wakuu wote waliwaambia mkutano wote, Sisi tumewaapia kwa BWANA, Mungu wa Israeli; basi sasa hatuwezi kuwagusa watu hawa.


Wakuu waliwaambia, Waacheni wawe hai; basi wakawa wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji, kwa ajili ya mkutano wote; vile vile kama hao wakuu walivyowaambia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo