Yoshua 8:7 - Swahili Revised Union Version7 basi ninyi mtainuka mtoke hapo mwoteapo, na kuushika mji; kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, atautia mikononi mwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hapo, nyinyi mtatokea kutoka huko mlikokuwa mnavizia na kuuteka mji, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atautia mji huo mikononi mwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hapo, nyinyi mtatokea kutoka huko mlikokuwa mnavizia na kuuteka mji, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atautia mji huo mikononi mwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Hapo, nyinyi mtatokea kutoka huko mlikokuwa mnavizia na kuuteka mji, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atautia mji huo mikononi mwenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 ninyi mtainuka mtoke mafichoni na kuuteka mji. Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atautia mkononi mwenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 ninyi inawapasa mwinuke mtoke huko mafichoni na kuuteka mji. bwana Mwenyezi Mungu wenu atautia mkononi mwenu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 basi ninyi mtainuka mtoke hapo mwoteapo, na kuushika mji; kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, atautia mikononi mwenu. Tazama sura |