Yoshua 8:34 - Swahili Revised Union Version34 Na baadaye alisoma maneno yote ya torati, baraka na laana, sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Kisha, Yoshua akawasomea sheria zote, pamoja na baraka na laana kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Kisha, Yoshua akawasomea sheria zote, pamoja na baraka na laana kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Kisha, Yoshua akawasomea sheria zote, pamoja na baraka na laana kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Hatimaye, Yoshua akasoma maneno yote ya sheria, yaani baraka na laana, kama vile ilivyoandikwa katika Kitabu cha Torati. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Hatimaye, Yoshua akasoma maneno yote ya sheria, yaani baraka na laana, kama vile ilivyoandikwa katika Kitabu cha Torati. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 Na baadaye alisoma maneno yote ya torati, baraka na laana, sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati. Tazama sura |