Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 8:23 - Swahili Revised Union Version

23 Kisha wakamshika mfalme wa Ai akiwa hai, nao wakamleta kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Lakini mfalme wa mji wa Ai walimteka akiwa hai na kumpeleka kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Lakini mfalme wa mji wa Ai walimteka akiwa hai na kumpeleka kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Lakini mfalme wa mji wa Ai walimteka akiwa hai na kumpeleka kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Lakini wakamchukua mfalme wa Ai akiwa hai na kumleta kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Lakini wakamchukua mfalme wa Ai akiwa hai na kumleta kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Kisha wakamshika mfalme wa Ai akiwa hai, nao wakamleta kwa Yoshua.

Tazama sura Nakili




Yoshua 8:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yoshua aliambiwa habari hiyo, ya kwamba, Hao wafalme watano wameonekana, nao wamejificha ndani ya pango ya Makeda


Kisha Yoshua akasema, Haya, funua mdomo wa pango, mniletee hao wafalme watano hapa nje ya pango.


Tena hao; wengine wakatoka nje ya mji huo kinyume chao; hivyo basi wakawa katikati ya Waisraeli, wengine upande huu na wengine upande ule; nao wakawapiga, hata wasimwache hata mmoja miongoni mwao aliyesalia, wala kupona.


Kisha ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamekwisha kuwaua wenyeji wote wa Ai katika bara, hapo katika nyika walipokuwamo wakiwafuatia, nao walikuwa wamekwisha anguka wote kwa makali ya upanga, hadi walipokuwa wameangamizwa wote, ndipo Israeli wakarejea Ai, na kuupiga huo mji kwa makali ya upanga.


Na huyo mfalme wa Ai akamtundika katika mti hadi wakati wa jioni; kisha hapo jua lilipokuchwa Yoshua akaagiza, nao wakauondoa mzoga wake katika huo mti, na kuutupa hapo penye maingilio ya lango la mji, kisha wakaweka pale juu yake rundo kubwa la mawe, hata hivi leo.


Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao hao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wakiwa hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Akamkamata Agagi, mfalme wa Waamaleki akiwa hai, akawaangamiza hao watu wote kwa upanga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo