Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 7:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi watu wakaenda huko wapata elfu tatu tu; nao wakakimbizwa na wakazi wa mji wa Ai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Basi, watu kama elfu tatu hivi wakaenda kuushambulia mji wa Ai, lakini wakakimbizwa na wakazi wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi, watu kama elfu tatu hivi wakaenda kuushambulia mji wa Ai, lakini wakakimbizwa na wakazi wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi, watu kama elfu tatu hivi wakaenda kuushambulia mji wa Ai, lakini wakakimbizwa na wakazi wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Basi wakapanda kama wanaume elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na wanaume wa Ai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi watu wakaenda huko wapata elfu tatu tu; nao wakakimbizwa na wakazi wa mji wa Ai.

Tazama sura Nakili




Yoshua 7:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake; Wala hukumsimamisha vitani.


Elfu moja watakimbia kwa kukemewa na mtu mmoja; kwa kukemewa na watano mtakimbia; hata mtakapoachwa kama mlingoti juu ya kilele cha mlima, na kama bendera juu ya kilima.


lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.


Nami nitauelekeza uso wangu kinyume chenu, nanyi mtapigwa mbele ya adui zenu; hao wawachukiao watatawala juu yenu; nanyi mtakimbia wakati ambao hapana awafukuzaye.


BWANA atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huku na huko katika falme zote za duniani.


Mmoja angefukuzaje watu elfu, Wawili wangekimbizaje elfu kumi, Kama Mwamba wao asingaliwauza, Kama BWANA asingaliwatoa?


Wakarejea kwa Yoshua wakamwambia, Wasiende watu wote, ila waende watu kama elfu mbili, tatu, wakaupige Ai; usiwataabishe watu wote kwenda huko maana watu hao ni wachache tu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo