Yoshua 7:26 - Swahili Revised Union Version26 Kisha wakakusanya juu yake rundo kubwa la mawe hata leo; naye BWANA akauacha ukali wa hasira yake. Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Halafu wakarundika mawe mengi juu yake, ambayo yako hadi leo. Hapo hasira ya Mwenyezi-Mungu ikapoa; na mahali hapo pakaitwa Bonde la Akori mpaka hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Halafu wakarundika mawe mengi juu yake, ambayo yako hadi leo. Hapo hasira ya Mwenyezi-Mungu ikapoa; na mahali hapo pakaitwa Bonde la Akori mpaka hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Halafu wakarundika mawe mengi juu yake, ambayo yako hadi leo. Hapo hasira ya Mwenyezi-Mungu ikapoa; na mahali hapo pakaitwa Bonde la Akori mpaka hivi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani, ambalo lipo hadi leo. Naye Mwenyezi Mungu akageuka kutoka hasira yake kali. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Bonde la Akori tangu siku hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani, ambalo lipo mpaka leo. Naye bwana akageuka kutoka hasira yake kali. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Bonde la Akori tangu siku hiyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Kisha wakakusanya juu yake rundo kubwa la mawe hata leo; naye BWANA akauacha ukali wa hasira yake. Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata leo. Tazama sura |