Yoshua 6:21 - Swahili Revised Union Version21 Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume, wanawake, watoto na wazee, na ng'ombe, kondoo na punda, kwa upanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Kisha wakaangamiza kila kitu mjini humo na kuwaua kwa upanga: Wanaume na wanawake, vijana na wazee, ng'ombe, kondoo na punda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Kisha wakaangamiza kila kitu mjini humo na kuwaua kwa upanga: Wanaume na wanawake, vijana na wazee, ng'ombe, kondoo na punda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Kisha wakaangamiza kila kitu mjini humo na kuwaua kwa upanga: wanaume na wanawake, vijana na wazee, ng'ombe, kondoo na punda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Wakauweka mji wakfu kwa Mwenyezi Mungu, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga: wanaume na wanawake, vijana kwa wazee, ng’ombe, kondoo na punda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Wakauweka mji wakfu kwa bwana, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ng’ombe, kondoo na punda. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji, wanaume, wanawake, watoto na wazee, na ng'ombe, kondoo na punda, kwa upanga. Tazama sura |