Yoshua 6:19 - Swahili Revised Union Version19 Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa BWANA; vitaletwa katika hazina ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Lakini fedha yote, dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Mwenyezi-Mungu; hivyo vitawekwa katika hazina ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Lakini fedha yote, dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Mwenyezi-Mungu; hivyo vitawekwa katika hazina ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Lakini fedha yote, dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Mwenyezi-Mungu; hivyo vitawekwa katika hazina ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Mwenyezi Mungu, lazima viletwe katika hazina yake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa bwana, lazima viletwe katika hazina yake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa BWANA; vitaletwa katika hazina ya BWANA. Tazama sura |