Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 4:17 - Swahili Revised Union Version

17 Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani.

Tazama sura Nakili




Yoshua 4:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuri lililokuwa linawaka moto. Akanena, akasema, Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni, mje huku. Ndipo Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakatoka katika ule moto.


Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana.


Haya, uwaamuru makuhani, hao waliolichukua sanduku la ushuhuda, kwamba wakwee juu kutoka mle katika Yordani.


Ilikuwa, hapo hao makuhani waliolichukua sanduku la Agano la BWANA walipokwea juu kutoka mle kati ya Yordani, na nyayo za miguu yao hao makuhani zilipoinuliwa na kutiwa katika nchi kavu, ndipo maji ya Yordani yaliporudi mahali pake, na kufurika katika kingo zake zote, kama yalivyokuwa hapo kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo