Yoshua 3:3 - Swahili Revised Union Version3 wakawaamuru watu wote wakisema, Mtakapoliona sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, na makuhani Walawi wakilichukua, ndipo mtakapoondoka hapa mlipo na kulifuata. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 wakawaambia watu, “Mtakapoliona sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, limebebwa na makuhani Walawi, mtaondoka na kulifuata; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 wakawaambia watu, “Mtakapoliona sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, limebebwa na makuhani Walawi, mtaondoka na kulifuata; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 wakawaambia watu, “Mtakapoliona sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, limebebwa na makuhani Walawi, mtaondoka na kulifuata; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la bwana Mwenyezi Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 wakawaamuru watu wote wakisema, Mtakapoliona sanduku la Agano la BWANA, Mungu wenu, na makuhani Walawi wakilichukua, ndipo mtakapoondoka hapa mlipo na kulifuata. Tazama sura |