Yoshua 24:10 - Swahili Revised Union Version10 lakini sikukubali kumsikiliza Balaamu; kwa hiyo akafululiza kuwabariki; basi nikawatoa katika mkono wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Lakini mimi sikumsikiliza Balaamu, naye ikambidi kuwabariki, nami nikawaokoa nyinyi mikononi mwa Balaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Lakini mimi sikumsikiliza Balaamu, naye ikambidi kuwabariki, nami nikawaokoa nyinyi mikononi mwa Balaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Lakini mimi sikumsikiliza Balaamu, naye ikambidi kuwabariki, nami nikawaokoa nyinyi mikononi mwa Balaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 lakini sikukubali kumsikiliza Balaamu; kwa hiyo akafululiza kuwabariki; basi nikawatoa katika mkono wake. Tazama sura |