Yoshua 21:45 - Swahili Revised Union Version45 Halikuanguka neno lolote katika jambo lolote lililokuwa ni jema ambalo BWANA alikuwa amelinena katika habari ya nyumba ya Israeli; yalitimia mambo yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 Hakuna hata ahadi yoyote njema ambayo Mwenyezi-Mungu aliiahidi Israeli ambayo haikutimia. Ahadi zote zilitimia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 Hakuna hata ahadi yoyote njema ambayo Mwenyezi-Mungu aliiahidi Israeli ambayo haikutimia. Ahadi zote zilitimia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 Hakuna hata ahadi yoyote njema ambayo Mwenyezi-Mungu aliiahidi Israeli ambayo haikutimia. Ahadi zote zilitimia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Mwenyezi Mungu kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI45 Halikuanguka neno lolote katika jambo lolote lililokuwa ni jema ambalo BWANA alikuwa amelinena katika habari ya nyumba ya Israeli; yalitimia mambo yote. Tazama sura |