Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 21:39 - Swahili Revised Union Version

39 na Heshboni pamoja na mbuga zake za malisho, na Yazeri pamoja na mbuga zake za malisho; jumla yake miji minne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Heshboni pamoja na mbuga zake za malisho na Yazeri pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla miji minne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Heshboni pamoja na mbuga zake za malisho na Yazeri pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla miji minne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Heshboni pamoja na mbuga zake za malisho na Yazeri pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla miji minne.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo ya malisho ya kila mji: miji minne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 na Heshboni pamoja na mbuga zake za malisho, na Yazeri pamoja na mbuga zake za malisho; jumla yake miji minne.

Tazama sura Nakili




Yoshua 21:39
14 Marejeleo ya Msalaba  

Katika Wahebroni Yeria alikuwa mkuu, yaani, wa hao Wahebroni kwa kufuata vizazi vyao kwa koo za mababa. Katika mwaka arubaini wa kutawala kwake Daudi wakatafutwa, wakaonekana huko Yazeri ya Gileadi miongoni mwao wanaume mashujaa.


na Heshboni pamoja na viunga vyake, na Yazeri pamoja na viunga vyake.


Nitakulilia, Ee mzabibu wa Sibma, kwa vilio vipitavyo vilio vya Yazeri; matawi yako yalipita juu ya bahari, yalifika hadi bahari ya Yazeri; atekaye nyara ameyaangukia matunda yako ya wakati wa jua, na mavuno yako ya zabibu.


Basi wana wa Reubeni, na hao wana wa Gadi, walikuwa na wanyama wa mifugo wengi sana; nao walipoona nchi ya Yazeri, na nchi ya Gileadi, ya kuwa mahali hapo palikuwa ni mahali pa kuwafaa wanyama;


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;


Na wana wa Reubeni wakajenga Heshboni, na Eleale, na Kiriathaimu;


na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni, na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni;


na miji yote ya nchi tambarare, na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akitawala katika Heshboni, aliyepigwa na Musa pamoja na hao wakubwa wa Midiani, nao ni Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao watawala wa Sihoni, waliokuwa katika nchi hiyo.


Mpaka wao ulikuwa ni Yazeri, na miji hiyo ya Gileadi, na nusu ya nchi ya wana wa Amoni, mpaka Aroeri uliokabili Raba;


Tena katika kabila la Gadi Ramothi katika Gileadi pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Mahanaimu pamoja na mbuga zake za malisho;


Miji hiyo yote ilikuwa ni miji ya wana wa Merari kwa kufuata jamaa zao, ni hizo jamaa za Walawi zilizosalia; na kura yao ilikuwa ni miji kumi na miwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo