Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 13:24 - Swahili Revised Union Version

24 Musa akawapa kabila la Gadi, hao wana wa Gadi, kwa kadiri ya jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Haya ndio maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa kabila la Gadi, kufuatana na koo zao:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Haya ndiyo maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Musa akawapa kabila la Gadi, hao wana wa Gadi, kwa kadiri ya jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 13:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Nao wakakaa huko Gileadi, katika Bashani, na katika miji yake, na katika viunga vyote vya Sharoni, hadi mipakani mwake.


Na mpakani mwa Zabuloni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; Gadi, fungu moja.


Na mpaka wa wana wa Reubeni ulikuwa ni mto wa Yordani, na kingo zake. Huo ndio urithi wa wana wa Reubeni sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.


Mpaka wao ulikuwa ni Yazeri, na miji hiyo ya Gileadi, na nusu ya nchi ya wana wa Amoni, mpaka Aroeri uliokabili Raba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo